forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
375 B
Markdown
13 lines
375 B
Markdown
# Furahini siku sote, Ombeni bila ukomo, Mshukuruni Mungu kwa kila jambo
|
|
|
|
Paulo anawatia moyo waumini kuendeleza tabia ya kiroho ya kufurahi kwa kila jambo, kuwa na juhudi katika maombi, na kutoa shukurani kwa mambo yote.
|
|
|
|
# kila jambo
|
|
|
|
katika hali zote
|
|
|
|
# Kwa kuwa haya ni mapenzi ya Mungu
|
|
|
|
Paulo anaeleza zile tabia alizo zitaja kuwa ni mapenzi ya Mungu kwa waamini wote.
|
|
|