# Furahini siku sote, Ombeni bila ukomo, Mshukuruni Mungu kwa kila jambo Paulo anawatia moyo waumini kuendeleza tabia ya kiroho ya kufurahi kwa kila jambo, kuwa na juhudi katika maombi, na kutoa shukurani kwa mambo yote. # kila jambo katika hali zote # Kwa kuwa haya ni mapenzi ya Mungu Paulo anaeleza zile tabia alizo zitaja kuwa ni mapenzi ya Mungu kwa waamini wote.