forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
437 B
Markdown
17 lines
437 B
Markdown
# Ndugu,
|
|
|
|
Hapa "Ndugu" humaanisha walioamini wenzake
|
|
|
|
# tuwatambue wale wanaotumika
|
|
|
|
"Kuheshimu na kuthamini wale ambao wanashiriki katika kuongoza"
|
|
|
|
# na wale wanaowaongoza katika Bwana
|
|
|
|
Hii inamaanisha wale watu ambao Mungu amewaweka kutumika kama viongozi katika vikundi vya waumini sehemu mbalimbali.
|
|
|
|
# muwatambue na kuwapa heshima kwa upendo kwa sababu ya kazi yao
|
|
|
|
"Waheshimuni na kuwatii kwa kazi yao kwasababu mnawapenda wao"
|
|
|