sw_tn/1th/05/12.md

437 B

Ndugu,

Hapa "Ndugu" humaanisha walioamini wenzake

tuwatambue wale wanaotumika

"Kuheshimu na kuthamini wale ambao wanashiriki katika kuongoza"

na wale wanaowaongoza katika Bwana

Hii inamaanisha wale watu ambao Mungu amewaweka kutumika kama viongozi katika vikundi vya waumini sehemu mbalimbali.

muwatambue na kuwapa heshima kwa upendo kwa sababu ya kazi yao

"Waheshimuni na kuwatii kwa kazi yao kwasababu mnawapenda wao"