sw_tn/1th/05/08.md

620 B

maelezo ya jumla

katika mistari ya 8-10 "sisi" ya husu waamini wote

wana wa mchana

Hii inawakilisha waumini katika Kristo. "waumini katika Kristo" au "watu wa mwanga."

tuwe na kiasi

"tujizoeze katika kujizuia"

kuvaa dirii ya

kama askari anavyo vaa dree kuulinda mwili wake, Mkiristo aliyeamini anayeishi kwa imani na upendo atapata ulinzi. "tujilinde wenyewe kwa"

kofia ya chuma

kama kofia ya chuma inavyo mlinda askari kichwani, hivyo ndivyo uhakika wa waokovu inavyomlinda muumini. "na ujue"

kwamba tumacho au tumelala

"kwamba tuko hai au tumekufa"

kujengana ninyi kwa ninyi

"kufarijiana"