forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
620 B
Markdown
29 lines
620 B
Markdown
|
# maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
katika mistari ya 8-10 "sisi" ya husu waamini wote
|
||
|
|
||
|
# wana wa mchana
|
||
|
|
||
|
Hii inawakilisha waumini katika Kristo. "waumini katika Kristo" au "watu wa mwanga."
|
||
|
|
||
|
# tuwe na kiasi
|
||
|
|
||
|
"tujizoeze katika kujizuia"
|
||
|
|
||
|
# kuvaa dirii ya
|
||
|
|
||
|
kama askari anavyo vaa dree kuulinda mwili wake, Mkiristo aliyeamini anayeishi kwa imani na upendo atapata ulinzi. "tujilinde wenyewe kwa"
|
||
|
|
||
|
# kofia ya chuma
|
||
|
|
||
|
kama kofia ya chuma inavyo mlinda askari kichwani, hivyo ndivyo uhakika wa waokovu inavyomlinda muumini. "na ujue"
|
||
|
|
||
|
# kwamba tumacho au tumelala
|
||
|
|
||
|
"kwamba tuko hai au tumekufa"
|
||
|
|
||
|
# kujengana ninyi kwa ninyi
|
||
|
|
||
|
"kufarijiana"
|
||
|
|