sw_tn/1th/05/01.md

694 B

sentensi unganishi

Paulo anazidi kuongelea siku Yesu ata rudi

muda na nyakati

"muda ambayo Bwana Yesu atarudu tena "

Ndugu

Her "ndugu" inamaanisha Wakiristo wengine

mwajua ya kuwa

"kufahamu kabisa" au "kuwa na ufahamu"

kama mwizi ajapo usiku

kama vile ambavyo mtu hajui ni usiku gani mwivi atakuja kuvunja na kuiba, sisi hatujui siku ya Bwana itakuja lini. "bilakutazamia"

Pale wasemapo

"Watu watakaposema"

ndipo uharibifu

"ndipo uharibifu usiotegemewa"

kama utungu umjiavyo mama mwenye mimba.

Kama vile mwanamke mjamzito maumivu ya kujifungua mtoto huja ghafla na wala haichi mpaka kuzaliwa itakapokamilika, ndivyo uharibifu huja na watu hawataweza kuepuka.