forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
694 B
Markdown
33 lines
694 B
Markdown
|
# sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazidi kuongelea siku Yesu ata rudi
|
||
|
|
||
|
# muda na nyakati
|
||
|
|
||
|
"muda ambayo Bwana Yesu atarudu tena "
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Her "ndugu" inamaanisha Wakiristo wengine
|
||
|
|
||
|
# mwajua ya kuwa
|
||
|
|
||
|
"kufahamu kabisa" au "kuwa na ufahamu"
|
||
|
|
||
|
# kama mwizi ajapo usiku
|
||
|
|
||
|
kama vile ambavyo mtu hajui ni usiku gani mwivi atakuja kuvunja na kuiba, sisi hatujui siku ya Bwana itakuja lini. "bilakutazamia"
|
||
|
|
||
|
# Pale wasemapo
|
||
|
|
||
|
"Watu watakaposema"
|
||
|
|
||
|
# ndipo uharibifu
|
||
|
|
||
|
"ndipo uharibifu usiotegemewa"
|
||
|
|
||
|
# kama utungu umjiavyo mama mwenye mimba.
|
||
|
|
||
|
Kama vile mwanamke mjamzito maumivu ya kujifungua mtoto huja ghafla na wala haichi mpaka kuzaliwa itakapokamilika, ndivyo uharibifu huja na watu hawataweza kuepuka.
|
||
|
|