sw_tn/1th/04/16.md

424 B

Bwana mwenyewe atashuka.

"Bwana mwenyewe atakuja chini"

Malaika mkuu

Malaika mkuu

Waliokufa katika Kristo watafufuka kwanza

Hapa anamaanisha kifo cha kimwili. "wale waliomwamini Yesu Kristo lakini walikufa watafufuka kwanza"

Sisi tulio hai

Hapa "sisi" linamaanisha waamini wote.

Pamoja nao

Neno "wao" linawaelezea waamini waliokufa.

Tutaungana hewani ili kumlaki Bwana mawinguni.

Kumlaki Bwana Yesu