|
# Mungu hakutuita kwa uchafu bali kwa utakatifu
|
|
|
|
Mungu alituita kuwa wasafi na watakatifu.
|
|
|
|
# Mungu hakutuita sisi
|
|
|
|
Neno "sisi" linamaanisha waamini wote.
|
|
|
|
# Yeye anayelikataa hili
|
|
|
|
"Yeyote asiyezingatia mafundisho haya" au "yeyote anayeyapuuzia mafundisho haya"
|
|
|