Mungu hakutuita kwa uchafu bali kwa utakatifu
Mungu alituita kuwa wasafi na watakatifu.
Mungu hakutuita sisi
Neno "sisi" linamaanisha waamini wote.
Yeye anayelikataa hili
"Yeyote asiyezingatia mafundisho haya" au "yeyote anayeyapuuzia mafundisho haya"