sw_tn/1th/04/07.md

264 B

Mungu hakutuita kwa uchafu bali kwa utakatifu

Mungu alituita kuwa wasafi na watakatifu.

Mungu hakutuita sisi

Neno "sisi" linamaanisha waamini wote.

Yeye anayelikataa hili

"Yeyote asiyezingatia mafundisho haya" au "yeyote anayeyapuuzia mafundisho haya"