sw_tn/1th/03/01.md

628 B

sentensi unganishi

Paulo anawambia waamini amemtuma Timotheo kuimarisha imani zao.

Hatukuweza kuvumilia.

Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike. au " hatukuweza kuwa na uvumilivu tukihofu juu yenu"

Ilikuwa vyema kubaki kule Atheni peke yake.

"Ilikuwa vyema kwangu na Silivanus kubaki Atheni.

Vyema

"Vizuri" au "yenye mantiki"

Atheni

Huu ni Mji katika jimbo la Akaiya, ambapo kwa sasa huitwa Ugiriki.

Ndugu yetu.

"Mkristo mwenzetu"

Hakuna ambaye atasumbuliwa

"Hakuna atakayekuwa na matatizo" au hakuna atakaye ondolewa"

Tumeteuliwa.

"Tumekusudiwa"