forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
628 B
Markdown
33 lines
628 B
Markdown
|
# sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawambia waamini amemtuma Timotheo kuimarisha imani zao.
|
||
|
|
||
|
# Hatukuweza kuvumilia.
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike. au " hatukuweza kuwa na uvumilivu tukihofu juu yenu"
|
||
|
|
||
|
# Ilikuwa vyema kubaki kule Atheni peke yake.
|
||
|
|
||
|
"Ilikuwa vyema kwangu na Silivanus kubaki Atheni.
|
||
|
|
||
|
# Vyema
|
||
|
|
||
|
"Vizuri" au "yenye mantiki"
|
||
|
|
||
|
# Atheni
|
||
|
|
||
|
Huu ni Mji katika jimbo la Akaiya, ambapo kwa sasa huitwa Ugiriki.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu yetu.
|
||
|
|
||
|
"Mkristo mwenzetu"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna ambaye atasumbuliwa
|
||
|
|
||
|
"Hakuna atakayekuwa na matatizo" au hakuna atakaye ondolewa"
|
||
|
|
||
|
# Tumeteuliwa.
|
||
|
|
||
|
"Tumekusudiwa"
|
||
|
|