forked from WA-Catalog/sw_tn
738 B
738 B
Limeenea kote
"Limesambaa pote"
Akaiya
Hii ilikuwa ni walaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki.
Kila mahali.
"Sehemu nyingi na kila Mikoa"
Kwa wao wenyewe.
Paulo anaelezea makanisa ambayo yaliwahi kuwapo katika Mikoa iliyokuwa karibu, waliokuwa wamesikia juu ya Waumini wa Thesalonike.
Wao wenyewe.
Kwa hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza wale watu waliokuwa wamesikia juu ya waumini wa Thesalonike.
Namna gani ya mapokezi tuliyokuwa nayo pamoja nanyi.
"Kwa namna ya ukalimu mliyotukaribisha".
Mwanae
Hii ni anwani mhimu ya Yesu inayoeleza mahusiano yake na Mungu.
Aliemuinua.
"Ambaye Mungu alimuinua"
Alietuokoa
Paulo anawahusisha waumini aliokuwa akiwaandikia kwenye neno "sisi"