forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
738 B
Markdown
37 lines
738 B
Markdown
|
# Limeenea kote
|
||
|
|
||
|
"Limesambaa pote"
|
||
|
|
||
|
# Akaiya
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa ni walaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki.
|
||
|
|
||
|
# Kila mahali.
|
||
|
|
||
|
"Sehemu nyingi na kila Mikoa"
|
||
|
|
||
|
# Kwa wao wenyewe.
|
||
|
|
||
|
Paulo anaelezea makanisa ambayo yaliwahi kuwapo katika Mikoa iliyokuwa karibu, waliokuwa wamesikia juu ya Waumini wa Thesalonike.
|
||
|
|
||
|
# Wao wenyewe.
|
||
|
|
||
|
Kwa hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza wale watu waliokuwa wamesikia juu ya waumini wa Thesalonike.
|
||
|
|
||
|
# Namna gani ya mapokezi tuliyokuwa nayo pamoja nanyi.
|
||
|
|
||
|
"Kwa namna ya ukalimu mliyotukaribisha".
|
||
|
|
||
|
# Mwanae
|
||
|
|
||
|
Hii ni anwani mhimu ya Yesu inayoeleza mahusiano yake na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Aliemuinua.
|
||
|
|
||
|
"Ambaye Mungu alimuinua"
|
||
|
|
||
|
# Alietuokoa
|
||
|
|
||
|
Paulo anawahusisha waumini aliokuwa akiwaandikia kwenye neno "sisi"
|
||
|
|