forked from WA-Catalog/sw_tn
22 lines
485 B
Markdown
22 lines
485 B
Markdown
# Unafuraha katika hili
|
|
|
|
Neno hili linamaanisha baraka zote za
|
|
"hufurahi kwa kile Mungu amefanya"
|
|
|
|
# sasa ni muhimu kwako kujisikia huzuni
|
|
|
|
"sasa ni sawa na sahihi kwamba unajisikia huzuni"
|
|
|
|
# hiyo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu
|
|
|
|
"Mungu hufurahia imani yako zaidi kuliko yeye anayegundua dhahabu"
|
|
|
|
# ipi huangamia katika moto ambayo inachunguza imani yako
|
|
|
|
"ingawa dhahabu hujaribiwa na moto, haiwezi kudumu milele"
|
|
|
|
# katika ufunuo wa Yesu Kristo
|
|
|
|
"wakati Yesu Kristo anarudi"
|
|
|