forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
398 B
Markdown
13 lines
398 B
Markdown
# Yeroboamu
|
|
|
|
Yeroboamu mwana wa Nebati ndiye aliyekuwa mfalme wa kwanza wa dola ya kaskazini ya Israeli kati ya mwaka 910 - 900 KK. Yeroboamu mwingine, mwana wa Yehoashi, alitawala Israeli baada ya miaka 120
|
|
|
|
# Misri, Wamisri
|
|
|
|
Misri ni nchi iliyo kasikazini mwa Afrika, kusini magharibi mwa nchi ya Kanaani.
|
|
|
|
# kifo. kufa, aliyekufa
|
|
|
|
Neno hili linatumika kuonyesha kifo cha kimwili na cha kiroho.
|
|
|