sw_tn/1ki/11/40.md

13 lines
398 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Yeroboamu
Yeroboamu mwana wa Nebati ndiye aliyekuwa mfalme wa kwanza wa dola ya kaskazini ya Israeli kati ya mwaka 910 - 900 KK. Yeroboamu mwingine, mwana wa Yehoashi, alitawala Israeli baada ya miaka 120
# Misri, Wamisri
Misri ni nchi iliyo kasikazini mwa Afrika, kusini magharibi mwa nchi ya Kanaani.
# kifo. kufa, aliyekufa
Neno hili linatumika kuonyesha kifo cha kimwili na cha kiroho.