sw_tn/1jn/04/01.md

1.1 KiB

Maelezo ya Jumla

Yohana anatoa onyo dhidi ya walimu wa uongo ambao hufundisha kinyume cha Kristo kuwa na mwili wa kibinadamu na waalimu huongelea kama wale wanaopenda mazungumzo ya ulimwengu

Wapendwa

"Nyinyi watu ninaowapenda" au "Rafiki wapendwa." Tazama linavyofafanuliwa 2:7

msiiamini kila roho

Hapa, neno "roho" humaanisha uwezo au nguvu zakiroho au nafsi inayompa mtu ujumbe au unabii. "msimtumaini kila nabii anayedai kuwa anao ujumbe kutoka kwa roho"

zijaribuni roho

Hapa, neno "roho" humaanisha uwezo au nguvu zakiroho au nafsi inayompa mtu ujumbe au unabii. : "hakikisheni kwamba mnasikiliza kwa makini kwa anayoyasema nabii"

jaribu

"thibitisha"

kila roho itakayokiri kuwa Yesu Kristo amekuja katika mwili

"amechukua umbo la mwili" au amekuja katika mwili unoonekana"

Hii ni roho ya mpinga kristo

"wao ni walimu wanaliokinyume na Kristo" au "wao ni walimu wanaompinga Kristo"

mpinga kristo, ambayo mliyoisikia kuwa inakuja

"mpingakristo. Mmekwisha kusikia kwamba watu kama hao wanakuja miongoni mwetu"

inakuja, na sasa tayari iko duniani.

"wanakuja. Na hata sasa tayari wako hapa"