forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.1 KiB
Markdown
37 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yohana anatoa onyo dhidi ya walimu wa uongo ambao hufundisha kinyume cha Kristo kuwa na mwili wa kibinadamu na waalimu huongelea kama wale wanaopenda mazungumzo ya ulimwengu
|
||
|
|
||
|
# Wapendwa
|
||
|
|
||
|
"Nyinyi watu ninaowapenda" au "Rafiki wapendwa." Tazama linavyofafanuliwa 2:7
|
||
|
|
||
|
# msiiamini kila roho
|
||
|
|
||
|
Hapa, neno "roho" humaanisha uwezo au nguvu zakiroho au nafsi inayompa mtu ujumbe au unabii. "msimtumaini kila nabii anayedai kuwa anao ujumbe kutoka kwa roho"
|
||
|
|
||
|
# zijaribuni roho
|
||
|
|
||
|
Hapa, neno "roho" humaanisha uwezo au nguvu zakiroho au nafsi inayompa mtu ujumbe au unabii. : "hakikisheni kwamba mnasikiliza kwa makini kwa anayoyasema nabii"
|
||
|
|
||
|
# jaribu
|
||
|
|
||
|
"thibitisha"
|
||
|
|
||
|
# kila roho itakayokiri kuwa Yesu Kristo amekuja katika mwili
|
||
|
|
||
|
"amechukua umbo la mwili" au amekuja katika mwili unoonekana"
|
||
|
|
||
|
# Hii ni roho ya mpinga kristo
|
||
|
|
||
|
"wao ni walimu wanaliokinyume na Kristo" au "wao ni walimu wanaompinga Kristo"
|
||
|
|
||
|
# mpinga kristo, ambayo mliyoisikia kuwa inakuja
|
||
|
|
||
|
"mpingakristo. Mmekwisha kusikia kwamba watu kama hao wanakuja miongoni mwetu"
|
||
|
|
||
|
# inakuja, na sasa tayari iko duniani.
|
||
|
|
||
|
"wanakuja. Na hata sasa tayari wako hapa"
|
||
|
|