sw_tn/1co/16/intro.md

866 B

1 Wakorintho 16 Maelezo ya Jumla

Muundo na upangiliaji

Paulo anaeleza kwa kifupi mada nyingi katika sura hii. Ilikuwa ni kawaida katika inchi za kale za Mashariki ya Karibu kwa sehemu ya mwisho ya barua kuwa na salamu za kibinafsi.

Dhana maalum katika sura hii

Maandalizi ya kuja kwake

Paulo alitoa maelekezo ili kusaidia kanisa la Korintho kujitayarisha kwa Paulo kuwatembelea. Aliwaambia waanze kukusanya fedha kila Jumapili kwa ajili ya waumini huko Yerusalemu. Alikuwa na matumaini ya kuja na kukaa pamoja nao wakati wa msimu wa baridi. Aliwaambia wamsaidie Timotheo atakapofika. Alikuwa na matumaini kuwa Apollo angewatembelea, lakini Apolo hadhani kwamba ilikuwa wakati mzuri. Paulo pia aliwaambia wamtii Stephanus. Kwa mwisho, alituma salamu kwa kila mtu.

__<< | __