sw_tn/1co/16/01.md

676 B

Sentensi unganishi

Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kukusanya pesa kwa ajili ya waumini wenye mahitaji walioko Yerusalemu. Pia anawajulisha kuwa Timotheo atapitia kwao kabla ya kwenda kwa Paulo.

ya waumini

Paulo alikuwa anakusanya pesa kutoka kwenye makanisa yake kwa ajili ya wakristo masikini wa kiyahudi huko Yerusalemu na Yuda.

kama nilivyo elekeza

"kama nilivyowapa maelekezo mahususi"

aweke kitu fulani kando na kukihifadhi,

Maana zinazowezekana ni: 1) " kitu hicho tunza nyumbani" au 2) "kilete kitunzwe kanisa"

ili kwamba kusiwe na makusanyo wakati nitakapokuja

" kwa hiyo nitakapokuja hakutakuwa na haja ya kukusanya pesa zingine zaidi"