forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
676 B
Markdown
21 lines
676 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha waumini wa Korintho kukusanya pesa kwa ajili ya waumini wenye mahitaji walioko Yerusalemu. Pia anawajulisha kuwa Timotheo atapitia kwao kabla ya kwenda kwa Paulo.
|
|
|
|
# ya waumini
|
|
|
|
Paulo alikuwa anakusanya pesa kutoka kwenye makanisa yake kwa ajili ya wakristo masikini wa kiyahudi huko Yerusalemu na Yuda.
|
|
|
|
# kama nilivyo elekeza
|
|
|
|
"kama nilivyowapa maelekezo mahususi"
|
|
|
|
# aweke kitu fulani kando na kukihifadhi,
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni: 1) " kitu hicho tunza nyumbani" au 2) "kilete kitunzwe kanisa"
|
|
|
|
# ili kwamba kusiwe na makusanyo wakati nitakapokuja
|
|
|
|
" kwa hiyo nitakapokuja hakutakuwa na haja ya kukusanya pesa zingine zaidi"
|
|
|