sw_tn/1co/15/56.md

313 B

Uchungu wa kifo ni dhambi

Ni kwasababu ya dhambi tutakabiliwa na kifo, hivyo tunakufa.

nguvu ya dhambi ni sheria

Sheria ya Mungu iliyopitishwa na Musa inafafanua juu ya dhambi na inatuonyesha jinsi tunavyotenda dhambi dhidi ya Mungu.

atupaye sisi ushindi

" amekwisha kushinda kifo kwa niaba yetu"