forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
313 B
Markdown
13 lines
313 B
Markdown
|
# Uchungu wa kifo ni dhambi
|
||
|
|
||
|
Ni kwasababu ya dhambi tutakabiliwa na kifo, hivyo tunakufa.
|
||
|
|
||
|
# nguvu ya dhambi ni sheria
|
||
|
|
||
|
Sheria ya Mungu iliyopitishwa na Musa inafafanua juu ya dhambi na inatuonyesha jinsi tunavyotenda dhambi dhidi ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# atupaye sisi ushindi
|
||
|
|
||
|
" amekwisha kushinda kifo kwa niaba yetu"
|
||
|
|