sw_tn/1co/15/45.md

236 B

Lakini wa kiroho hakuja kwanza bali wa asili, na kisha wa kiroho.

" mtu wa asili alikuja kwanza. mtu wa kiroho alikuja baadaye na anatoka kwa Mungu"

asili

aliumbwa kwa namna ya kidunia, na bado hajawa katika mahusiano na Mungu.