sw_tn/1co/15/45.md

9 lines
236 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Lakini wa kiroho hakuja kwanza bali wa asili, na kisha wa kiroho.
" mtu wa asili alikuja kwanza. mtu wa kiroho alikuja baadaye na anatoka kwa Mungu"
# asili
aliumbwa kwa namna ya kidunia, na bado hajawa katika mahusiano na Mungu.