forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
355 B
Markdown
13 lines
355 B
Markdown
# manabii wawili au watatu wanene,
|
|
|
|
inaweza kumaanisha: 1) Manabii wawili au watatu tu wahutubie katika kusanyiko moja au 2)Manabii wawili au watatu tu wapokezane katika kunena kwa wakati mmoja.
|
|
|
|
# kilichosemwa
|
|
|
|
katika muundo tendaji ni " kile wanachonena"
|
|
|
|
# akifunuliwa jambo
|
|
|
|
katika muundo tendaji unaweza kusema " Kama Mungu akimpa ufunuo mtu mmoja"
|
|
|