sw_tn/1co/14/29.md

355 B

manabii wawili au watatu wanene,

inaweza kumaanisha: 1) Manabii wawili au watatu tu wahutubie katika kusanyiko moja au 2)Manabii wawili au watatu tu wapokezane katika kunena kwa wakati mmoja.

kilichosemwa

katika muundo tendaji ni " kile wanachonena"

akifunuliwa jambo

katika muundo tendaji unaweza kusema " Kama Mungu akimpa ufunuo mtu mmoja"