sw_tn/1co/14/24.md

315 B

atashawishiwa na yote asikiayo. Atahukumiwa na yote yasemwayo

Paulo anasema jambo moja mara mbili ili kuweka mkazo. kwa maneno mengine anasema atatambua kuwa anahatia ya dhambi kwa kuwa amesikia mnachosema"

Siri za moyo wake zingefunuliwa

kwa muundo tendaji ni kusema "Mungu angemfunulia siri za moyo wake"