|
# wewe washukuru
|
|
|
|
Paulo anatumia neno "wewe" kuzungumza na Wakorintho wote.
|
|
|
|
# hajengwi
|
|
|
|
Paulo anasema swala la kuwasaidia watu ni kama kujenga nyumba. lakini bado " mwingine hasaidiki"
|
|
|
|
# maneno kumi elfu
|
|
|
|
Inamaanisha "maneno elfu kumi au maneno mengi zaidi ya hayo".
|
|
|