wewe washukuru
Paulo anatumia neno "wewe" kuzungumza na Wakorintho wote.
hajengwi
Paulo anasema swala la kuwasaidia watu ni kama kujenga nyumba. lakini bado " mwingine hasaidiki"
maneno kumi elfu
Inamaanisha "maneno elfu kumi au maneno mengi zaidi ya hayo".