sw_tn/1co/14/17.md

270 B

wewe washukuru

Paulo anatumia neno "wewe" kuzungumza na Wakorintho wote.

hajengwi

Paulo anasema swala la kuwasaidia watu ni kama kujenga nyumba. lakini bado " mwingine hasaidiki"

maneno kumi elfu

Inamaanisha "maneno elfu kumi au maneno mengi zaidi ya hayo".