forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
620 B
Markdown
25 lines
620 B
Markdown
# Nifanye nini?
|
|
|
|
Paulo anatoa utangulizi wa maamuzi yake. kwa maneno mengine anasema "hivi ndivyo nitakavyofanya"
|
|
|
|
# Nitaomba kwa roho yangu...nitaomba kwa akili zangu. Nitaimba kwa roho yangu...nitaimba kwa akili zangu
|
|
|
|
Maombi na nyimbo lazima ziwe katika lugha inayoeleweka kwa watu waliopo
|
|
|
|
# kwa akili zangu
|
|
|
|
" kwa maneno yanayoeleweka kwangu"
|
|
|
|
# ukimsifu Mungu... utoapo shukurani.. usemayo
|
|
|
|
Paulo anatumia neno "wewe" kutoa ujumbe kwa kila mtu anayeomba katika roho lakini si katika akili yake.
|
|
|
|
# mgeni ataitikaje "Amina"
|
|
|
|
kwa maneno mengine " Mgeni hataweza kusema Amina"
|
|
|
|
# ataitikaje "Amina"
|
|
|
|
" kukubali"
|
|
|