sw_tn/1co/14/15.md

620 B

Nifanye nini?

Paulo anatoa utangulizi wa maamuzi yake. kwa maneno mengine anasema "hivi ndivyo nitakavyofanya"

Nitaomba kwa roho yangu...nitaomba kwa akili zangu. Nitaimba kwa roho yangu...nitaimba kwa akili zangu

Maombi na nyimbo lazima ziwe katika lugha inayoeleweka kwa watu waliopo

kwa akili zangu

" kwa maneno yanayoeleweka kwangu"

ukimsifu Mungu... utoapo shukurani.. usemayo

Paulo anatumia neno "wewe" kutoa ujumbe kwa kila mtu anayeomba katika roho lakini si katika akili yake.

mgeni ataitikaje "Amina"

kwa maneno mengine " Mgeni hataweza kusema Amina"

ataitikaje "Amina"

" kukubali"