sw_tn/1co/11/01.md

733 B

Sentensi Unganisha

Baada ya Paulo kuwakumbusha Wakorintho kumfuata yeye kama navyomfuata Kristo, Paulo anatoa maagizo mahususi jinsi wanawake na wanaume wanavyopaswa kuishi kama waumini

mnavyonikumbuka

"fikiri juu ya" au " kumbuka"

nataka

inaweza kumaanisha 1) "Kwa sababu ya hili, ninataka" au 2) "Hata hivyo, ninataka."

ni kichwa cha

anamamlaka juu ya

naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke

inaweza kumaanisha 1) " wanaume wanamamlaka kwa wanawake" au 2) mume anapaswa kuwa na mamlaka kwa mke"

akiwa amefunika kichwa

" anapofunika au kuweke kitambaa kwenye kichwa chake"

anakiabisha kichwa chake

inaweza kumaanisha 1) " hujitia aibu mwenyewe" au 2) huleta aibu kwa Krito, ambaye ni kichwa cha mwanaume."