sw_tn/1co/10/14.md

1.1 KiB

Sentensi Unganishi

Paulo anaendelea kuwakumbusha Wakorintho kuwa wasafi na kujitenga ibada ya sanamu na uchafu, wanapokuwa katika ushirika ambao unawakilisha damu na mwili wa Kristo.

ikimbieni ibada ya sanamu

Paulo anazungumzia tendo la kuabudu sanamu ni kama mnyama hatari " fanyeni kila namna ili kukaa mbali na ibada ya kuabudu sanamu"

kikombe cha baraka

Paulo anatumia maelezo haya kufafanua kikombe kilichowekewa divai ambayo ilitumiwa katika meza ya Bwana.

Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?

" tunamshukuru Mungu kwa ajili ya kikombe"

si ushirika wa damu ya Kristo?

Kikombe cha divai ambacho tunashiriki kinatuunganisha kushiriki katika damu ya Kristo. kwa maneno mengine "tunashiriki katika damu ya Kristo."

Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?

" tunashiriki katika mwili wa Kristo tunaposhiriki mkate"

ushirika wa

"kushiriki katika" au " kushiriki katika hali ya usawa pamoja na wengine"

mkate mmoja

kipande kimoja cha mkate uliookwa na kugawanywa au kukatwa katika vipande vidogo vidogo kabla ya kuliwa.