forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.1 KiB
Markdown
33 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea kuwakumbusha Wakorintho kuwa wasafi na kujitenga ibada ya sanamu na uchafu, wanapokuwa katika ushirika ambao unawakilisha damu na mwili wa Kristo.
|
||
|
|
||
|
# ikimbieni ibada ya sanamu
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia tendo la kuabudu sanamu ni kama mnyama hatari " fanyeni kila namna ili kukaa mbali na ibada ya kuabudu sanamu"
|
||
|
|
||
|
# kikombe cha baraka
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia maelezo haya kufafanua kikombe kilichowekewa divai ambayo ilitumiwa katika meza ya Bwana.
|
||
|
|
||
|
# Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
|
||
|
|
||
|
" tunamshukuru Mungu kwa ajili ya kikombe"
|
||
|
|
||
|
# si ushirika wa damu ya Kristo?
|
||
|
|
||
|
Kikombe cha divai ambacho tunashiriki kinatuunganisha kushiriki katika damu ya Kristo. kwa maneno mengine "tunashiriki katika damu ya Kristo."
|
||
|
|
||
|
# Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
|
||
|
|
||
|
" tunashiriki katika mwili wa Kristo tunaposhiriki mkate"
|
||
|
|
||
|
# ushirika wa
|
||
|
|
||
|
"kushiriki katika" au " kushiriki katika hali ya usawa pamoja na wengine"
|
||
|
|
||
|
# mkate mmoja
|
||
|
|
||
|
kipande kimoja cha mkate uliookwa na kugawanywa au kukatwa katika vipande vidogo vidogo kabla ya kuliwa.
|
||
|
|