forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
785 B
Markdown
21 lines
785 B
Markdown
# Ni nani afanyaye kazi kama askari kwa gharama zake mwenyewe?
|
|
|
|
" Wote tunajua kuwa askari hatumii vifaa vyake mwenyewe." au " Wote tunajua kuwa kila askari hupokea vifaa kutoka serikalini"
|
|
|
|
# Ni nani apandaye mzabibu asile matunda yake?
|
|
|
|
" Wote tunajua kuwa yule anayepanda shamba la zabibu atakula matunda yake." au " Wote tunajua kuwa hakuna anayetarajia mtu aliyepanda shamba la zabibu asile matunda yake."
|
|
|
|
# Au na nani achungaye kundi asiyekunywa maziwa yake?
|
|
|
|
" Wote tunafahamu kuwa wale wachungao kundi hupata kinywaji chao kutoka kundini."
|
|
|
|
# Je ninasema haya kwa mamlaka ya kibinadamu?
|
|
|
|
"Mnafikiri kuwa ninasema mambo haya kwa matakwa ya mamlaka ya kibinadamu."
|
|
|
|
# Sheria nayo pia haisemi haya?
|
|
|
|
"Mnatenda haya kana kwamba hamjui hivi ndivyo imeandikwa katika sheria."
|
|
|