forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
336 B
Markdown
13 lines
336 B
Markdown
# Hamjui kwamba
|
|
|
|
" nataka niwakumbushe kuwa..."
|
|
|
|
# anayeungana na kahaba amekuwa mwili mmoja naye
|
|
|
|
" mwanaume anayeunganisha mwili wake kwenye mwili wa kahaba , miili yao inakuwa mwili mmoja"
|
|
|
|
# Lakini anayeungana na Kristo amekuwa roho moja na yeye
|
|
|
|
" Bwana anapounganisha roho yake kwenye roho ya mtu, roho zao zinakuwa roho moja."
|
|
|