sw_tn/1co/06/16.md

336 B

Hamjui kwamba

" nataka niwakumbushe kuwa..."

anayeungana na kahaba amekuwa mwili mmoja naye

" mwanaume anayeunganisha mwili wake kwenye mwili wa kahaba , miili yao inakuwa mwili mmoja"

Lakini anayeungana na Kristo amekuwa roho moja na yeye

" Bwana anapounganisha roho yake kwenye roho ya mtu, roho zao zinakuwa roho moja."