forked from WA-Catalog/sw_tn
336 B
336 B
Hamjui kwamba
" nataka niwakumbushe kuwa..."
anayeungana na kahaba amekuwa mwili mmoja naye
" mwanaume anayeunganisha mwili wake kwenye mwili wa kahaba , miili yao inakuwa mwili mmoja"
Lakini anayeungana na Kristo amekuwa roho moja na yeye
" Bwana anapounganisha roho yake kwenye roho ya mtu, roho zao zinakuwa roho moja."