forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
683 B
Markdown
41 lines
683 B
Markdown
# Hamjui kwamba
|
|
|
|
Paulo anaelezea kwamba wanapaswa tayari kuwa wanaujua ukweli huu. "Tayari umejua vile"
|
|
|
|
# Wasio haki hawatarithi
|
|
|
|
"wenye haki tu watarithi"
|
|
|
|
# kurithi ufalmewa Mungu
|
|
|
|
Mungu hatawahukumu kama wenye haki katika hukumu, na hawataingia katika uzima wa milele.
|
|
|
|
# Wafiraji
|
|
|
|
Hawa ni malaya ambao ni wanaume hulala na wanaume wengine.
|
|
|
|
# Wale wanaofanya uzinzi
|
|
|
|
Wanaume ambao hulala na wanumewengine(Walawiti)
|
|
|
|
# wenye tamaa
|
|
|
|
watu walio tayari kutumia njia mbaya kujipatia mali
|
|
|
|
# wadhalimu
|
|
|
|
"matapeli"
|
|
|
|
# mlisafishwa
|
|
|
|
Mungu amewasafisha
|
|
|
|
# mliwekwa wakfu kwa Mungu
|
|
|
|
Mungu amewatenga kwa ajili yake.
|
|
|
|
# Mmefanywa haki pamoja na Mungu
|
|
|
|
Mungu amewafanya haki pamoja na yeye
|
|
|