sw_tn/1co/05/03.md

591 B

...nipo nanyi kiroho

"... kila wakati nafikiri juu yenu."

nimekwisha mhukumu yeye aliyefanya hivi

"Nimekwisha ona huyu mtu ana hatia"

Mnapokutanika pamoja

"kutana"

katika jina la Bwana Yesu

lugha ya kuelezea tendo la kukusanyika pamoja kumwabudu Yesu Kristo

Nimekwisha

" tayari nimemhukumu mtu huyo"

kumkabidhi mtu huyu kwa Shetani

Hii inaonyesha kumfukuza mtu kutoka kwa watu wa Mungu,ili aishi katika utawala wa Shetani, ulimwengu nje ya Kanisa.

ili kwamba mwili wake uharibiwe

ili kwamba mwili wa mtu huyo upate maradhi kwa kurudiwa na Mungu kwa dhambi yake