forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
591 B
Markdown
29 lines
591 B
Markdown
|
# ...nipo nanyi kiroho
|
||
|
|
||
|
"... kila wakati nafikiri juu yenu."
|
||
|
|
||
|
# nimekwisha mhukumu yeye aliyefanya hivi
|
||
|
|
||
|
"Nimekwisha ona huyu mtu ana hatia"
|
||
|
|
||
|
# Mnapokutanika pamoja
|
||
|
|
||
|
"kutana"
|
||
|
|
||
|
# katika jina la Bwana Yesu
|
||
|
|
||
|
lugha ya kuelezea tendo la kukusanyika pamoja kumwabudu Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
# Nimekwisha
|
||
|
|
||
|
" tayari nimemhukumu mtu huyo"
|
||
|
|
||
|
# kumkabidhi mtu huyu kwa Shetani
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kumfukuza mtu kutoka kwa watu wa Mungu,ili aishi katika utawala wa Shetani, ulimwengu nje ya Kanisa.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba mwili wake uharibiwe
|
||
|
|
||
|
ili kwamba mwili wa mtu huyo upate maradhi kwa kurudiwa na Mungu kwa dhambi yake
|
||
|
|