forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
669 B
Markdown
21 lines
669 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anaelezea kwa ufasaha kwamba amesikia kuna dhambi miongoni mwa waumini wa Wakorintho, na namna Wakorintho walivyojisifu na kukaa pamoja na mtu aliyetenda ile dhambi.
|
|
|
|
# Ile hairuhusiwi hata miongoni mwa mataifa
|
|
|
|
Katika muundo tendaji " hata watu wa wasioamini hawawezi kuruhusu"
|
|
|
|
# Mke wa baba
|
|
|
|
mke wa baba yake, lakini yawezekana si mama yake wa kumza
|
|
|
|
# Hampaswi kuhuzunika badala?
|
|
|
|
Hili ni swali lenye jibu limetumika kuwakemea Wakorintho. "Mnapaswa kuhuzunika kwa hili jambo!"
|
|
|
|
# Yeye aliyefanya hivi lazima awe ameondolewa miongoni mwenu
|
|
|
|
Katika hali ya muundo tendaji:- "Ni lazima aondolewe miongoni mwenu aliyefanya jambo hili ."
|
|
|