sw_tn/1co/05/01.md

669 B

Sentensi Unganishi

Paulo anaelezea kwa ufasaha kwamba amesikia kuna dhambi miongoni mwa waumini wa Wakorintho, na namna Wakorintho walivyojisifu na kukaa pamoja na mtu aliyetenda ile dhambi.

Ile hairuhusiwi hata miongoni mwa mataifa

Katika muundo tendaji " hata watu wa wasioamini hawawezi kuruhusu"

Mke wa baba

mke wa baba yake, lakini yawezekana si mama yake wa kumza

Hampaswi kuhuzunika badala?

Hili ni swali lenye jibu limetumika kuwakemea Wakorintho. "Mnapaswa kuhuzunika kwa hili jambo!"

Yeye aliyefanya hivi lazima awe ameondolewa miongoni mwenu

Katika hali ya muundo tendaji:- "Ni lazima aondolewe miongoni mwenu aliyefanya jambo hili ."