forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
412 B
Markdown
13 lines
412 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anatofautisha kati ya hekima ya kibinadamu na hekima ya Mungu. anaeka mkazo kuwa hekima ya kiroho hutoka kwa Mungu.
|
|
|
|
# kaka na dada zangu
|
|
|
|
Hii inamaanisha washirika wote(wakristo), wanaume na wanawake.
|
|
|
|
# Niliamua kutojua chochote...isipokuwa Yesu Kristo
|
|
|
|
Paulo alilenga katika kusulubiwa kwa Kristo badala ya mawazo ya kibinandamu: " niliamua kuzungumza zaidi... kuhusu Kristo Yesu
|
|
|