sw_tn/1co/02/01.md

412 B

Sentensi Unganishi

Paulo anatofautisha kati ya hekima ya kibinadamu na hekima ya Mungu. anaeka mkazo kuwa hekima ya kiroho hutoka kwa Mungu.

kaka na dada zangu

Hii inamaanisha washirika wote(wakristo), wanaume na wanawake.

Niliamua kutojua chochote...isipokuwa Yesu Kristo

Paulo alilenga katika kusulubiwa kwa Kristo badala ya mawazo ya kibinandamu: " niliamua kuzungumza zaidi... kuhusu Kristo Yesu