forked from WA-Catalog/sw_tn
412 B
412 B
Sentensi Unganishi
Paulo anatofautisha kati ya hekima ya kibinadamu na hekima ya Mungu. anaeka mkazo kuwa hekima ya kiroho hutoka kwa Mungu.
kaka na dada zangu
Hii inamaanisha washirika wote(wakristo), wanaume na wanawake.
Niliamua kutojua chochote...isipokuwa Yesu Kristo
Paulo alilenga katika kusulubiwa kwa Kristo badala ya mawazo ya kibinandamu: " niliamua kuzungumza zaidi... kuhusu Kristo Yesu