forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
309 B
Markdown
8 lines
309 B
Markdown
# Nitawapa midomo safi watu
|
|
|
|
Hii ni njia nyingine ya kusema kwamba Mungu atasababisha watu wake kusema ambacho ni haki.
|
|
|
|
# nitumikieni mimi mkisimama bega kwa bega
|
|
|
|
Watu wataunganishwa kwa hamu zao kumtumikia Mungu, kama watu wameunganishwa kimwili watakaposimama pamoja kwa mabega yao yakigusana kila mmoja.
|