sw_tn/zep/03/09.md

309 B

Nitawapa midomo safi watu

Hii ni njia nyingine ya kusema kwamba Mungu atasababisha watu wake kusema ambacho ni haki.

nitumikieni mimi mkisimama bega kwa bega

Watu wataunganishwa kwa hamu zao kumtumikia Mungu, kama watu wameunganishwa kimwili watakaposimama pamoja kwa mabega yao yakigusana kila mmoja.