sw_tn/zec/14/06.md

357 B

Maelezo ya Jumla:

Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa.

maji yaliyohai

Kwa kawaida hii inamaanisha maji yatiririkayo, tofauti na maji yaliyotuama.

bahari ya mashariki

Hii inamaanisha Bahari ya chumvi, iliyomashariki mwa Yerusalemu.

bahari ya magharibi

Hii inamaanisha bahari ya Mediterania.